Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Bw.Mavere Ali Tukai akipewa maelekezo na aliyekuwa Mfamasia wa KPI Macdonald Mariki kuhusiana na uzalishaji wa dawa KPI.

17 May, 2022 09:30-12:00 DAR ES SALAAM
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Bw.Mavere Ali Tukai akipewa maelekezo na aliyekuwa Mfamasia  wa KPI Macdonald Mariki kuhusiana na uzalishaji wa dawa KPI.

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Mfamasia Mavere Ali Tukai alitembelea kiwanda cha Dawa cha Keko na kupewa maelekezo na aliyekuwa Mfamasia wa KPI Macdonald Mariki kuhusiana na uzalishaji wa dawa unavyofanyika KPI.